KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
Mkuu mpya wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo
Dar es Salaam.
Rais John Pombe Magufuli amemteua Mrisho Gambo kuwa Mkuu wa Mkoa wa
Arusha kuanzia leo Alhamisi baada ya kutengua uteuzi wa Felix Ntibenda
katika mwendelezo wa mabadiliko madogo ya kuimarisha afu ya utawala
wake.
Uteuzi wa Gambo unakuja takriban miezi miwili baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha mwisho mwa Juni mwaka huu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Ntibenda anahamishiwa katika ofisi yake kwa ajili ya kupangiwa majukumu mengine.
Gambo ataapishwa kesho Ijumaa saa 3 asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.
MWANANCHI
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

