BREAKING NEWS: JPM ATENGUA UTEUZI WA MKUU WA MKOA NA KUTEUA MWINGINE: SOMA HAPA

KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI

Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below


Mkuu mpya wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo
Mkuu mpya wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo 
Dar es Salaam. Rais John Pombe Magufuli amemteua Mrisho Gambo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuanzia leo Alhamisi baada ya kutengua uteuzi wa Felix Ntibenda katika mwendelezo wa mabadiliko madogo ya kuimarisha afu ya utawala wake.
Uteuzi wa Gambo unakuja takriban miezi miwili baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha mwisho mwa Juni mwaka huu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Ntibenda anahamishiwa katika ofisi yake kwa ajili ya kupangiwa majukumu mengine.
Gambo ataapishwa kesho Ijumaa saa 3 asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.
MWANANCHI

BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES

;

WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

Newer Posts Older Posts
© Copyright VIDEO
Back To Top