KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
Waziri wa elimu nchini Sweden amejiuzulu wadhifa wake baada ya kupatikana akiendesha gari akiwa mlevi.
Bi Aida Hadzialic, ambaye amekuwa waziri wa elimu ya sekondari na elimu
ya watu wazima, amejiuzulu baada ya kukamatwa na polisi Malmo.
Kwenye taarifa iliyoonyesha hisia nyingi, Bi Hadzialic , ambaye ndiye
mtu mchanga zaidi kuwahi kuteuliwa waziri nchini humo, amesema sharti
awajibike kwa alichosema ni kosa kubwa zaidi alilowahi kulifanya
maishani mwake.
Alipimwa na kugunduliwa kwamba alikuwa tu amepitisha kidogo kipimo kinachoruhusiwa cha unywaji pombe.
Sweden huwa na sheria kali sana za kuzuia uendeshaji gari mtu akiwa amelewa.
Bi Hadzialic, aliyehamia Sweden kama mkimbizi Mwislamu kutoka Bosnia Herzegovina akiwa mdogo, amesema alikuwa amekunywa gilasi mbili pekee za mvinyo.
Bi Hadzialic, aliyehamia Sweden kama mkimbizi Mwislamu kutoka Bosnia Herzegovina akiwa mdogo, amesema alikuwa amekunywa gilasi mbili pekee za mvinyo.
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI


