KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
WAZIRI
wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amesitisha
malipo ya posho za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini
ambao wanaofanya mafunzo kwa vitendo (practical training) ‘field’ baada
ya kubaini kuwepo na wanafunzi hewa zaidi ya 1000 vyuoni.
Prof. Ndalichako amesema wizara yake
imezuia posho hizo kwa muda wa wiki mbili wakati wizara hiyo ikiwa
inafanya uhakiki ili kuwabaini wanafunzi hewa zaidi pamoja na wahusika
kuwachukulia hatua za kisheria.
Aidha Prof. Ndalichako amewaagiza wakuu
wote wa vyuo kuwasilisha taarifa za wanafunzi wao wizarani ili zoezi la
kukagua na kubaini uahalali wa wanafunzi hao kuwepo vyuoni na wale
watakaoonekana kuwa wana sifa watapatiwa posho zao za kujikimu mapema na
kuendelea na masomo.
CHANZO: EA RADIO
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

