KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Alli Hapi ameagiza walimu 68 wa shule za
msingi na 22 wa shule za sekondari wavuliwe vyeo vyao kutokana na
kubainika kuwa na wanafunzi hewa.
Hatua hiyo imekuja baada ya kubaini kuwapo kwa wanafunzi hewa 5000
katika shule za msingi na sekondari katika manispaa hiyo ambao wamekuwa
wakipata ruzuku ya elimu bure.
Alisema baada ya uhakiki wa kubaini wanafunzi hewa ilibainika wakuu
hao wa shule walifanya udanganyifu kwa lengo la kujipatia fedha za
wanafunzi hao.
chanzo: Mwananchi
chanzo: Mwananchi
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

