KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
Mshambuliazi mpya wa Simba Laudit Mavugo alianza kuifungia klabu yake bao la kuongoza dakika ya 19 kipindi cha kwanza kabla ya bao hilo kusawazishwa na Omary Mponda dakika ya 36.
Timu zote zilikwenda mapumziko zikiwa sare kwa kufungana bao 1-1.


Ndanda ilimpumzisha Aziz Sibo ambaye aliumia na kushindwa kuendelea na mchezo na nafasi yake ikachukuliwa na Bakari Mtama wakati Nassoro Kapama aliingia kuchukua nafasi ya Shija Nkiwa.

Fredrick Blagnon akaifungia Simba bao la pili dakika ya 74 kabla ya Shiza Kichuya kukamilisha ushindi kwa kukwamisha kambani bao la tatu.


- Mavugo na Blagnon wamefunga magoli yao ya kwanza kwenye mechi ya kwanza ya ligi kuu Tanzania bara.
- Goli la Mavugo ni la pili katika mechi tatu alizocheza akiwa Simba. Bao lake la kwanza lilikuwa kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya AFC Leopards ya Kenya, mechi ya pili ilikuwa dhidi ya URA ya Uganda ikiwa ni mechi ya pili ya kirafiki ya kimataifa.
- Salum Telela amecheza mechi yake ya kwanza kama kwenye ligi akiwa nje ya Yanga tangu alipoachana na mabingwa hao watetezi wa VPL baada ya mkataba wake kumalizika.
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

