TAZAMA VIDEO HII: HIVI NDIVYO WAFUASI WA LIPUMBA WALIVYO VUNJA VUNJA VITI MKUTANONI LEO HII

KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI

Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
5
Mkutano Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) uliofanyika kwa dharura leo katika hoteli ya Blue Pearl jijini Dar es Salaam umevunjika baada ya vurugu kutokea katika mkutano huo na wajumbe waliokuwamo kushindwa kuendelea na zoezi la upigaji kura kumchagua mwenyekiti wa chama hicho.
Mkutano huo ambapo walikuwa wanatarajia kumchagua mwenyekiti wa chama hicho baada ya Prof. Lipumba kujiuzulu mwaka jana, umeshindwa kuendelea baada ya wafuasi wa chama hicho kuvamia ukumbini na kuleta vurugu wakishnikisha Prof. Lipumba awe mwenyekiti wa chama hicho.
Kufuatia vurugu hizo, aliyekuwa akiongoza mkutano huo, Julius Mtatiro ameahirisha mkutano huo hadi hapo utakapotajwa tena.
Awali, wajumbe 476 walipiga kura wakizuia Prof. Lipumba asigombee tena nafasi ya uenyekiti wa chama hicho. Kura zilizokuwa zinahitajika ili kumzuia ni 410.

BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES

;

WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

Newer Posts Older Posts
© Copyright VIDEO
Back To Top