KUPATA PICHA ZA KUCHEKESHA WHATSAPP BOFYA HAPA CHINI
Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below Always visit the site for enjoying the funny and all comedy releted videos, because my purpose is to see yoou happy all the time, after watching i beg you to share my videos with friends, be happy all the time and enyoy the videos below
Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imepanga kuitisha
maandamano nchini nzima Agosti 31 mwaka huu yenye lengo kumpongeza Rais
John Magufuli kutokana utendaji kazi tangu aingie madarakani.
Kaimu Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Shaka Hamdu Shaka alisema
maandamano hayo ni ya amani tofauti na vyama vingine na tayari
wameshatoa taarifa kwenye vyombo vya dola kwa ajili ya ulinzi.
Alisema Rais Magufuli amefanya mambo mengi katika kipindi kifupi
alichokuwa madarakani hivyo hawana budi kumpongeza kwa njia ya maandamo
ili kufikisha ujumbe kwa wananchi waliomchagua.
BOFYA HAPA CHINI KUONA VITUKO VYA MASTAA BONGO MOVIES
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI

